Hosea 2 - Bible in Kiswahili, Revised Union Version 2013

1Waambieni ndugu zenu, Ami na dada zenu, Ruhama.Uzinzi, adhabu na ukombozi wa Israeli

2 wala hutaniita tena Baali.

17Kut 23:13 Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.

18Ayu 5:23; Zek 9:10; Isa 11:6; 2:4; Law 26:5; Yer 23:6 Nami siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mashamba kwa ajili yao, tena na ndege wa angani, tena na wadudu wa nchi; nami nitavivunja upinde na upanga na silaha vitoke katika nchi, nami nitawalalisha salama salimini.

19Nami nitakuposa uwe wangu wa milele; naam, nitakuposa kwa haki, na kwa hukumu, na kwa ufadhili, na kwa rehema.

20Isa 54:13; Yer 31:33 Nami nitakuposa kwa uaminifu; nawe utamjua BWANA.

21Zek 8:12 Tena itakuwa siku hiyo, mimi nitaitika, asema BWANA; nitaziitikia mbingu, nazo zitaiitikia nchi;

22nayo nchi itaiitikia nafaka na divai na mafuta; nayo yataiitikia Yezreeli.

23Zek 10:9; 13:9; Rum 9:25; 1 Pet 2:10 Nami nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe; nami nitamrehemu yeye asiyepewa rehema; nami nitawaambia wale wasiokuwa watu wangu, Ninyi ndinyi watu wangu; nao watasema, Wewe ndiwe Mungu wangu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help