Ayubu 25 - Bible in Kiswahili, Revised Union Version 2013

Bildadi anena: Mtu awezaje kuwa mwenye haki mbele za Mungu

1Ndipo Bildadi, Mshuhi, akajibu, na kusema,

2Enzi na hofu zi pamoja na Mungu;

Hufanya amani katika mahali pake palipoinuka.

3 Mwa 1:3-5,14-16; Zab 19:4-6; 139:8,11; Mt 5:45; Yak 1:17 Je! Majeshi yake yahesabika?

Ni nani asiyetokewa na mwanga wake?

4 Ayu 4:17; 9:2; Zab 130:3; 143:2; Rum 3:19,20 Basi mtu awezaje kuwa na haki mbele ya Mungu?

Au awezaje kuwa safi aliyezaliwa na mwanamke?

5Tazama, hata mwezi hauangazi,

Wala nyota si safi machoni pake;

6 Zab 22:6 Sembuse mtu, aliye mdudu!

Na mwanadamu, ambaye ni buu!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help