Zaburi 144 - Bible in Kiswahili, Revised Union Version 2013

Sala kwa ukombozi wa kitaifa na usalamaYa Daudi.

1 wangu na ngome yangu,

Nguzo yangu na mwokozi wangu

Ngao yangu ninayemkimbilia,

Huwatiisha watu wangu chini yangu.

3 ili kupamba nyumba ya mfalme.

13Ghala zetu na zijae

Zenye akiba za jinsi zote.

Kondoo zetu na wazae

Elfu na makumi elfu mashambani mwetu.

14 Law 26:17 Ng'ombe wetu na wabebe mizigo mizito,

Kusiwe na kushambuliwa.

Wala kusiwe na kuhamishwa,

Wala malalamiko katika njia zetu.

15 Kum 33:29 Heri watu wenye hali hiyo,

Heri watu wenye BWANA kuwa Mungu wao.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help