1Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu,
Usiwe kwangu kama kiziwi.
Nisije nikafanana nao washukao shimoni,
Ikiwa umeninyamalia.
2Uisikie sauti ya dua yangu nikuombapo,
Nikipainulia patakatifu pako mikono yangu.
3Usinikokote pamoja na wasio haki,
Wala pamoja na watenda maovu.
Wawaambiao jirani zao maneno ya amani,
Lakini mioyoni mwao mna madhara.
4 wake.
9Uwaokoe watu wako, uubariki urithi wako,
Uwachunge, uwachukue milele.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.