1Msifuni Mwenyezi Mungu, ninyi nyote watumishi wa Mwenyezi Mungu,
ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Mwenyezi Mungu.
2Inueni mikono yenu katika patakatifu
na kumsifu Mwenyezi Mungu.
3Naye Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na dunia,
awabariki kutoka Sayuni.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.