1Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana,
ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2Inueni mikono yenu katika patakatifu
na kumsifu Bwana.
3Naye Bwana, Muumba wa mbingu na dunia,
awabariki kutoka Sayuni.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.