1Jinsi dhahabu ilivyoacha kung’aa,
Na dhahabu iliyo safi ilivyobadilika!
Mawe ya patakatifu yametupwa
Mwanzo wa kila njia.
2 wa BWANA,
Alikamatwa katika marima yao;
Ambaye kwa habari zake tulisema,
Chini ya kivuli chake tutakaa kati ya mataifa.
21Furahi, ushangilie, Ee binti Edomu,
Ukaaye katika nchi ya Usi;
Hata kwako kikombe kitapita,
Utalewa, na kujifanya uchi.
22Uovu wako umetimia, Ee binti Sayuni;
Hatakuhamisha tena;
Atapatiliza uovu wako, Ee binti Edomu;
Atazivumbua dhambi zako.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.