1 Petro 1 - Swahili Revised Union Version DC

Salamu

1 mkiitumainia kwa utimilifu ile neema mtakayoletewa katika ufunuo wake Yesu Kristo.

14Rum 12:2; Efe 2:3; 4:17 Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu;

15bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote;

16Law 11:44-45; 19:2; 20:7 kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

17Zab 89:26; Yer 3:19; Mal 1:6; Mt 6:9; Rum 2:11 Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.

18Isa 52:3; 1 Kor 6:20; 7:23 Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;

19Isa 53:7; Ebr 9:14 bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na dosari wala waa, yaani, ya Kristo.

20Rum 16:25; Efe 1:4 Naye amejulikana kweli tangu zamani, kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini alifunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu;

21Yn 14:6; Rum 4:24; Kol 1:27 na kupitia kwake mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.

221 Yoh 5:1 Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikia upendano wa ndugu usio na unafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo safi.

23Dan 6:26; Yn 1:13; Yak 1:18 Kwa kuwa mmezaliwa mara ya pili; si kwa mbegu iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye uzima, linalodumu hata milele.

24Isa 40:6-8; Yak 1:10,11 Maana,

Mwili wote ni kama majani,

Na fahari yake yote ni kama ua la majani.

Majani hukauka na ua lake huanguka;

25 Isa 40:8 Bali Neno la Bwana hudumu hata milele.

Na neno hilo ni neno lile jema lililohubiriwa kwenu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help