1Mungu, uisikie sauti yangu katika malalamiko yangu;
Unilinde uhai wangu kutoka kwa hofu ya adui.
2
7Lakini Mungu atawapiga kwa mshale wake,
Na kuwajeruhi ghafla.
8 Mit 12:13 Kwa ajili ya ulimi wao wataangamizwa;
Wote wawaonao watatetemeka kwa hofu.
Wote wawaonao watatikisa kichwa.
9Na watu wote wataogopa,
Wataitangaza kazi ya Mungu,
Na kuyafahamu matendo yake.
10 Zab 32:11; Flp 4:4 Mwenye haki atamfurahia BWANA na kumkimbilia,
Na wote wenye moyo wa adili watasifu.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.