Zaburi 64 - Swahili Revised Union Version DC

Sala ya ulinzi kutoka kwa aduiKwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1Mungu, uisikie sauti yangu katika malalamiko yangu;

Unilinde uhai wangu kutoka kwa hofu ya adui.

2

7Lakini Mungu atawapiga kwa mshale wake,

Na kuwajeruhi ghafla.

8 Mit 12:13 Kwa ajili ya ulimi wao wataangamizwa;

Wote wawaonao watatetemeka kwa hofu.

Wote wawaonao watatikisa kichwa.

9Na watu wote wataogopa,

Wataitangaza kazi ya Mungu,

Na kuyafahamu matendo yake.

10 Zab 32:11; Flp 4:4 Mwenye haki atamfurahia BWANA na kumkimbilia,

Na wote wenye moyo wa adili watasifu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help