Kutoka 13 - Swahili Revised Union Version DC

Sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu

1BWANA akasema na Musa, akamwambia,

2 na kila mzaliwa wa kwanza wa binadamu katika wanao utamkomboa.

14 wana wa Israeli wakakwea kutoka nchi ya Misri wakiwa tayari kwa vita.

19Mwa 50:25; Yos 24:32; Mdo 7:16 Musa akaichukua ile mifupa ya Yusufu pamoja naye; maana, alikuwa amewaapisha sana wana wa Israeli, akisema, Mungu hana budi atawajia ninyi; nanyi mtaichukua mfupa yangu kutoka hapa pamoja nanyi.

20Hes 33:6 Nao wakasafiri kutoka Sukothi, wakapiga kambi Ethamu, kwenye mpaka wa lile jangwa.

21Kum 1:33; Neh 9:12,19; Zab 78:14; Isa 4:5; 1 Kor 10:1 BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia; na usiku, ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru; wapate kusafiri mchana na usiku;

22Zab 121:5-8 ile nguzo ya wingu haikuondoka mchana, wala ile nguzo ya moto haikuondoka usiku, mbele ya hao watu.

Blog
About Us
Message
Site Map