Ayubu 12 - Swahili Revised Union Version DC

Ayubu ajibu: Mimi nachekwa sana

1Ndipo Ayubu akajibu, na kusema,

2Hapana shaka ninyi ndinyi watu halisi,

Nanyi mtakapokufa, ndipo na hekima itakoma.

3Lakini mimi pia, nina fahamu kama ninyi;

Mimi si duni kuliko ninyi;

Naam, ni nani asiyejua mambo kama hayo?

4

Naye huwafanya waamuzi kuwa ni wapumbavu.

18Yeye hulegeza kifungo cha wafalme,

Na kuwafunga viuno vyao kwa mshipi.

19Yeye huwaondoa makuhani wakiwa wamevuliwa nguo.

Na kuwapindua mashujaa.

20Huondoa usemi wa hao walioaminiwa,

Na kuondoa fahamu za wazee.

21Humwaga aibu juu ya hao wakuu,

Na kulegeza mshipi wa wenye nguvu.

22 Mt 10:26; 1 Kor 4:5 Huvumbua mambo ya siri tokea gizani,

Na hicho kilicho giza tupu huleta mwangani.

23Huyaongeza mataifa, na kuyaangamiza;

Huyaeneza mataifa mbali, na kuyaacha.

24Huwaondolea moyo wakuu wa watu wa nchi,

Na kuwapoteza nyikani pasipokuwa na njia.

25Wao hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga,

Naye huwafanya kupepesuka kama mlevi.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help