Zaburi 99 - Swahili Revised Union Version DC

Sifa kwa utukufu wa Mungu

1 upendaye hukumu kwa haki;

Umeiimarisha haki;

Umefanya hukumu na haki katika Israeli.

5 1 Nya 28:2; Zab 132:7; Isa 66:1 Mtukuzeni BWANA, Mungu wetu;

Sujuduni penye kiti cha miguu yake;

Ndiye mtakatifu.

6Musa na Haruni walikuwa makuhani wake,

Na Samweli pia ni miongoni mwa walioliitia jina lake,

Walimlilia BWANA naye akawaitikia;

7 Kut 19:9; 33:9; Hes 12:5 Akasema nao katika nguzo ya wingu.

Wakashika shuhuda zake na amri aliyowapa.

8 Hes 14:20; Sef 3:7; Kum 9:20 Ee BWANA, Mungu wetu, ndiwe uliyewajibu;

Ulikuwa kwao Mungu mwenye kusamehe

Ingawa uliwapatiliza matendo yao.

9Mtukuzeni BWANA, Mungu wetu;

Sujuduni mkiukabili mlima wake mtakatifu;

Maana BWANA, Mungu wetu, ni mtakatifu.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help