1 ulivyokuwa dhahiri.
Mausia ya Paulo kwa Timotheo10Bali wewe umeyafuata mafundisho yangu, na mwenendo wangu, na makusudi yangu, na imani, na uvumilivu,
11Mdo 13:14-52; 14:1-20; Zab 34:19 na upendo, na subira; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.
12Mt 16:24; Mdo 14:22 Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.
131 Tim 4:1 Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.
142 Tim 2:2 Bali wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao;
15Yn 5:39; Zab 119:99 na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.
162 Pet 1:19-21; Rum 15:4 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
171 Tim 6:11 ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.