2 Timotheo 3 - Swahili Revised Union Version DC

Uovu katika siku za mwisho

1 ulivyokuwa dhahiri.

Mausia ya Paulo kwa Timotheo

10Bali wewe umeyafuata mafundisho yangu, na mwenendo wangu, na makusudi yangu, na imani, na uvumilivu,

11Mdo 13:14-52; 14:1-20; Zab 34:19 na upendo, na subira; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.

12Mt 16:24; Mdo 14:22 Naam, na wote wapendao kuishi maisha ya utauwa katika Kristo Yesu wataudhiwa.

131 Tim 4:1 Lakini watu waovu na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.

142 Tim 2:2 Bali wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao;

15Yn 5:39; Zab 119:99 na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.

162 Pet 1:19-21; Rum 15:4 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;

171 Tim 6:11 ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help