Kutoka 2 - Swahili Revised Union Version DC

Kuzaliwa na ujana wa Musa

1 Musa akimbilia Midiani

11 baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?

19Wakasema, Mmisri mmoja alituokoa katika mikono ya wachungaji, tena zaidi ya hayo, akatutekea maji, akalinywesha kundi.

20Mwa 31:54 Akawaambia binti zake, Yuko wapi basi? Mbona mmemwacha mtu huyo? Mwiteni, ale chakula.

21Musa akawa radhi kukaa kwake mtu yule, naye akampa Musa binti yake, Sipora.

22Kut 18:3; Ebr 11:13 Huyo akamzalia mtoto wa kiume, akamwita jina lake Gershomu, maana alisema, Nimekuwa mgeni katika nchi ya ugeni.

23 Kut 7:7; Zab 12:5; Mwa 18:20; Kum 24:15; Yak 5:4 Na kisha baada ya muda, yule mfalme wa Misri akafa; wana wa Israeli wakaugua kwa sababu ya ule utumwa, wakalia; kilio chao kikafika juu kwa Mungu kwa sababu ya ule utumwa.

24Mwa 15:13-14; Kut 6:5; Zab 105:8 Mungu akasikia kuugua kwao, Mungu akakumbuka agano lake alilolifanya na Abrahamu na Isaka na Yakobo.

252 Sam 16:12; Lk 1:25 Mungu akawaona wana wa Israeli, na Mungu akawaangalia.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help