Hesabu 27 - Swahili Revised Union Version DC

Mabinti wa Selofehadi

1

171 Fal 22:17; Eze 34:5; Mt 9:36; Mk 6:34; Kum 31:2; 1 Sam 8:20; 18:13; 2 Nya 1:10; 2 Nya 18:16 atakayetoka mbele yao, na kuingia mbele yao; atakayewaongoza watokapo, na kuwaleta ndani; ili watu wa BWANA wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.

18Kut 24:13; Mwa 41:38; Amu 3:10 BWANA akamwambia Musa, Mtwae Yoshua, mwana wa Nuni, mtu ambaye roho iko ndani yake, ukamwekee mkono wako;

19Kum 31:7 kisha ukamweke mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya jumuiya yote; ukampe mausia mbele ya macho yao.

20Hes 11:17; 1 Sam 10:6; 2 Fal 2:15; Kum 34:9; Yos 1:15 Nawe utaweka juu yake sehemu ya heshima yako, ili jumuiya yote ya wana wa Israeli wapate kutii.

21Kut 28:30; 1 Sam 14:41; 28:6; Yos 9:14; Amu 1:1; 20:18; 1 Sam 23:9; 30:7; Law 8:8; Kum 33:8; 1 Sam 28:6; 1 Sam 22:10 Naye atasimama mbele ya Eleazari kuhani, naye atamwulizia kwa hukumu ya ile Urimu mbele za BWANA; kwa neno lake watatoka, na kwa neno lake wataingia; yeye na wana wa Israeli wote pamoja naye, mkutano wote pia.

22Musa akafanya kama BWANA alivyomwamuru; akamtwaa Yoshua, akamweka mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya jumuiya yote;

23Kum 3:28; 31:23; Isa 55:4 kisha akaweka mikono yake juu yake, akampa mausia, kama BWANA alivyosema kwa mkono wa Musa.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help