2 Wakorintho 6 - Swahili Revised Union Version

1 Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?

16Law 26:12; Eze 37:27; 1 Kor 3:16; 6:19; Eze 37:27 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

17Isa 52:11; Yer 51:45; Eze 20:34,41; Ufu 18:4 Kwa hiyo,

Tokeni kati yao,

Mkatengwe nao, asema Bwana,

Msiguse kitu kilicho kichafu,

Nami nitawakaribisha.

18 2 Sam 7:8,14; 1 Nya 17:13; Isa 43:6; Yer 31:9; 32:38; Hos 1:10; Amo 4:13 Nitakuwa Baba kwenu,

Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,

asema Bwana Mwenyezi.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help