Zaburi 100 - Swahili Revised Union Version

Nchi zote zaitwa kumsifu MunguZaburi ya Shukrani.

1Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;

2Mtumikieni BWANA kwa furaha;

Njoni mbele zake mkiimba;

3 Ayu 10:8,9; Mhu 12:1; Efe 2:10; Eze 34:30 Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;

Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;

Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.

4Ingieni malangoni mwake kwa shukrani;

Nyuani mwake kwa kusifu;

Mshukuruni, lihimidini jina lake;

5 1 Nya 16:34; 2 Nya 5:13; 7:3; Ezr 3:11; Zab 106:1; 107:1; 118:1; 136:1; Yer 33:11 Maana BWANA ni mwema;

Rehema zake ni za milele;

Na uaminifu wake katika vizazi vyote.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help