Warumi 10 - Swahili Revised Union Version

1 mwingi kwa wote wamwitao;

13Yoe 2:32 kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.

14Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri?

15Isa 52:7 Tena wahubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri kama nini miguu yao wahubirio habari ya mema!

16 Isa 43:1 Lakini si wote walioitii ile Habari Njema. Kwa maana Isaya asema, Bwana, ni nani aliyeziamini habari zetu?

17Yn 17:20 Basi imani, hutokana na kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.

18Zab 19:4 Lakini nasema, Je! Wao hawakusikia? Naam, wamesikia,

Sauti yao imeenea duniani kote,

Na maneno yao hadi katika miisho ya ulimwengu.

19 Kum 32:21 Lakini nasema, Je! Waisraeli hawakufahamu? Kwanza Musa anena,

Nitawatia wivu kwa watu ambao si taifa,

Kwa taifa lisilo na fahamu nitawakasirisha.

20 Isa 65:1 Na Isaya anao ujasiri mwingi, asema,

Nilipatikana nao wasionitafuta,

Nilidhihirika kwao wasioniulizia.

21 Isa 65:2 Lakini kwa Israeli asema, Mchana kutwa niliwanyoshea mikono watu wasiotii na wakaidi.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help