Yoeli 3 - Swahili, Common Language Bible with DCs

Mungu atayahukumu mataifa

1“Wakati huo na siku hizo

nitakapoirekebisha hali ya Yuda na Yerusalemu,

2nitayakusanya mataifa yote,

niyapeleke katika bonde liitwalo,

‘Mwenyezi-Mungu Ahukumu.

Huko nitayahukumu mataifa hayo,

kwa mambo yaliyowatendea watu wangu Israeli,

hao walio mali yangu mimi mwenyewe.

Maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,

waligawa nchi yangu

3na kugawana watu wangu kwa kura.

Waliwauza wavulana ili kulipia malaya,

na wasichana ili kulipia divai.

4

19“Misri itakuwa mahame,

Edomu itakuwa jangwa tupu,

kwa sababu waliwashambulia watu wa Yuda

wakawaua watu wasio na hatia.

20Bali Yuda itakaliwa milele,

na Yerusalemu kizazi hata kizazi.

21Nitawaadhibu waliomwaga damu ya watu wa Yuda

wala sitawaachia wenye hatia.

Mimi, Mwenyezi-Mungu nakaa Siyoni.”

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help