Zaburi 110 - Swahili, Common Language Bible with DCs

Kutawazwa kwa mfalme mteule(Zaburi ya Daudi)

1

4 Taz Ebr 5:6; 6:20; 7:17,21 Mwenyezi-Mungu amekuapia wala hatabadili nia yake:

“Wewe ni kuhani milele kwa utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki.”

5Bwana yuko upande wako wa kulia;

atawaponda wafalme atakapokasirika.

6Atayahukumu mataifa na kuwaua watu wengi;

atawaponda viongozi kila mahali duniani.

7Mfalme atakunywa maji ya kijito njiani;

naye atainua kichwa juu kwa ushindi.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help