Zaburi 133 - Swahili, Common Language Bible with DCs

Uzuri wa umoja kati ya watu(Wimbo wa Kwenda Juu, wa Daudi)

1Ni jambo zuri na la kupendeza sana

ndugu kuishi pamoja kwa umoja.

2Ni kama mafuta mazuri yatiririkayo kichwani,

mpaka kwenye ndevu zake Aroni,

mpaka upindoni mwa vazi lake shingoni.

3Ni kama umande wa mlima Hermoni,

uangukao juu ya vilima vya Siyoni!

Huko Mwenyezi-Mungu ameahidi kuwabariki watu wake,

kuwapa uhai usio na mwisho.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help