Zaburi 141 - Swahili, Common Language Bible with DCs

Hatari za tamaa mbaya(Zaburi ya Daudi)

1Nakuita, ee Mwenyezi-Mungu,

uje haraka kunisaidia!

Uisikilize sauti yangu wakati ninapokuita!

2

6Wakuu wao watakapopondwa miambani,

ndipo watatambua maneno yangu yalikuwa sawa.

7Mifupa yao itatawanywa mdomoni pa Kuzimu

kama kuni zilizopasuliwa vipandevipande!

8Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu;

ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

9Unikinge na mitego waliyonitegea,

uniepushe na matanzi ya hao watu waovu.

10Waovu wanaswe katika mitego yao wenyewe,

wakati mimi najiendea zangu salama.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help