Esta G 3 - Kiswahili Study Bible

21 Taarifa hiyo ilitakiwa ibandikwe hadharani katika kila mkoa, ili kila mtu ajiandae kwa ajili ya siku hiyo.

22 Kwa amri ya mfalme, tangazo hili lilitolewa katika mji mkuu wa Susa, nao matarishi wakalitangaza katika mikoa yote. Mfalme na Hamani walikaa wanastarehe pamoja wakati watu mjini Susa wanafadhaika.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help