Isaya 13 - Swahili Common Language DC Bible
Mungu ataiadhibu Babuloni
1 wataishi humo,
na majini yatachezea humo.
22Mbwamwitu watalia ndani ya ngome zake,
mbweha wataonekana ndani ya nyumba zao za anasa.
Wakati wa Babuloni umekaribia,
wala siku zake hazitaongezwa.”