Zaburi 22 - Swahili Common Language DC Bible

Kilio(Kwa Mwimbishaji: Mtindo wa utenzi wa kulungu wa alfajiri. Zaburi ya Daudi)

1 langu limekauka kama kigae;

ulimi wangu wanata kinywani mwangu.

Umeniacha kwenye mavumbi ya kifo.

16Genge la waovu limenizunguka;

wananizingira kama kundi la mbwa;

wamenitoboa mikono na miguu.

17Nimebaki mifupa mitupu;

maadui zangu waniangalia na kunisimanga.

18 toka pembe za nyati hao.

Wimbo wa shukrani

22 Taz Ebr 2:12 Nitawasimulia ndugu zangu matendo yako;

nitakusifu kati ya kusanyiko lao:

23Enyi mnaomcha Mwenyezi-Mungu, msifuni!

Mtukuzeni enyi wazawa wote wa Yakobo!

Mcheni Mungu enyi wazawa wote wa Israeli!

24Maana yeye hapuuzi au kudharau unyonge wa mnyonge;

wala hajifichi mbali naye,

ila humsikia anapomwomba msaada.

25Kwa sababu yako ninakusifu

katika kusanyiko kubwa la watu;

nitatimiza ahadi zangu mbele yao wakuchao.

26Maskini watakula na kushiba;

wanaomtafuta Mwenyezi-Mungu watamsifu.

Mungu awajalie kuishi milele!

27Ulimwengu wote utakumbuka na kumrudia Mwenyezi-Mungu;

jamaa zote za mataifa zitamwabudu.

28Maana Mwenyezi-Mungu ni mfalme;

yeye anayatawala mataifa.

29Wenye kiburi wote duniani watasujudu mbele yake;

wote ambao hufa watainama mbele yake,

wote ambao hawawezi kudumisha uhai wao.

30Vizazi vijavyo vitamtumikia;

watu watavisimulia habari za Mwenyezi-Mungu,

31watatangaza matendo yake ya wokovu.

Watu wasiozaliwa bado wataambiwa:

“Mwenyezi-Mungu ndiye aliyefanya hayo!”

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help