1Kisha Elihu akaendelea kusema:
2“Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima,
nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.
3
au wale wahatarishao maisha ya watu.
31“Tuseme mtu amemwambia Mungu,
‘Nimekosa, sitatenda dhambi tena.
32Nioneshe makosa nisiyoweza kuyaona
kama nimetenda mabaya sitayarudia tena.’
33Je, Mungu atapaswa kumwadhibu kama uonavyo wewe?
Wewe ndiwe unayeamua, sio mimi.
Basi, sema unachofikiri wewe.
34Mtu yeyote mwenye akili,
na kila mwenye hekima anayenisikiliza atasema:
35‘Yobu anaongea bila kutumia akili,
maneno yake hayana maana.’
36Laiti Yobu angechunguzwa mpaka mwisho,
kwa maana anajibu kama watu waovu.
37Huongeza uasi juu ya dhambi zake;
anaeneza mashaka kati yetu,
na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.