Zaburi 118 - Swahili, Common Language Bible

Sala ya shukrani

1

23Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu

nayo ni ya ajabu sana kwetu.

24Hii ndiyo siku aliyoifanya Mwenyezi-Mungu;

tushangilie na kufurahi.

25 Taz Mat 21:9; Marko 11:9; Yoh 12:13 Tafadhali utuokoe, ee Mwenyezi-Mungu!

Tafadhali utufanikishe, ee Mwenyezi-Mungu!

26 Taz Mat 21:9; 23:39; Marko 11:9; Luka 13:35; 19:38; Yoh 12:13 Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Mwenyezi-Mungu!

Twawabariki kutoka nyumbani mwa Mwenyezi-Mungu

27Mwenyezi-Mungu ni Mungu;

yeye ametujalia mwanga wake

Shikeni matawi ya sherehe,

mkiandamana mpaka madhabahuni.

28Wewe ni Mungu wangu, nami ninakushukuru;

ninakutukuza, ee Mungu wangu.

29Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema,

kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help