Zaburi 89 - Swahili, Common Language Bible

Wakati wa taabu ya kitaifa(Utenzi wa Ethani Mwezrahi)

1Ee Mwenyezi-Mungu, nitaimba fadhili zako milele;

nitavitangazia vizazi vyote uaminifu wako.

2Natamka kuwa fadhili zako zadumu milele;

uaminifu wako ni thabiti kama mbingu.

3Umesema: “Nimefanya agano na mteule wangu,

nimemwapia mtumishi wangu Daudi:

4

ukauangusha chini utawala wake.

45Umezipunguza siku za ujana wake,

ukamfunika fedheha tele.

Kuomba usalama

46Ee Mwenyezi-Mungu, utajificha hata milele?

Hata lini hasira yako itawaka kama moto?

47Ukumbuke, ee Bwana, ufupi wa maisha yangu;

kwamba binadamu uliyemuumba anaishi muda mfupi!

48Ni mtu gani aishiye asipate kufa?

Nani awezaye kujiepusha na kifo?

49Ee Bwana, ziko wapi basi fadhili zako,

ulizomwapia Daudi kwa uaminifu wako?

50Ee Bwana, ukumbuke anavyotukanwa mtumishi wako,

jinsi nivumiliavyo matusi ya wasiokujua.

51Ona wanavyomzomea, ee Mwenyezi-Mungu;

jinsi wanavyomdhihaki mteule wako kila aendako.

52Asifiwe Mwenyezi-Mungu milele!

Amina! Amina!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help